Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 17:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini ili tusiwakwaze,+ wewe nenda baharini, utupe ndoano, na kuchukua samaki wa kwanza atakayetokea, ukifungue kinywa chake, nawe utapata sarafu ya stateri. Ichukue na uwape kwa ajili yangu na kwa ajili yako.”+

  • Mathayo 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungiwe shingoni jiwe la kusagia+ kama lile ambalo huzungushwa na punda na azamishwe katika bahari kuu.+

  • 1 Wakorintho 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini endeleeni kuangalia kwamba hii mamlaka yenu isije kuwa kwa njia fulani kikwazo kwa wale walio dhaifu.+

  • 1 Wakorintho 10:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Epukeni kuwa vikwazo+ kwa Wayahudi na vilevile kwa Wagiriki na kwa kutaniko la Mungu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki