27 Lakini ili tusiwakwaze,+ wewe nenda baharini, utupe ndoano, na kuchukua samaki wa kwanza atakayetokea, ukifungue kinywa chake, nawe utapata sarafu ya stateri. Ichukue na uwape kwa ajili yangu na kwa ajili yako.”+
6 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungiwe shingoni jiwe la kusagia+ kama lile ambalo huzungushwa na punda na azamishwe katika bahari kuu.+