Waroma 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo sisi na tusiwe tukihukumiana+ tena, bali badala yake fanyeni hili kuwa uamuzi+ wenu, kutokuweka mbele ya ndugu+ kikwazo+ au sababu ya kujikwaa. 1 Wakorintho 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo, ikiwa chakula kinamkwaza ndugu yangu,+ mimi sitakula nyama tena kamwe, ili nisije nikamkwaza+ ndugu yangu. 1 Wakorintho 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Epukeni kuwa vikwazo+ kwa Wayahudi na vilevile kwa Wagiriki na kwa kutaniko la Mungu, 2 Wakorintho 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sisi hatutoi sababu yoyote ya kukwaza+ kwa njia yoyote, ili huduma yetu isilaumiwe;+
13 Kwa hiyo sisi na tusiwe tukihukumiana+ tena, bali badala yake fanyeni hili kuwa uamuzi+ wenu, kutokuweka mbele ya ndugu+ kikwazo+ au sababu ya kujikwaa.
13 Kwa hiyo, ikiwa chakula kinamkwaza ndugu yangu,+ mimi sitakula nyama tena kamwe, ili nisije nikamkwaza+ ndugu yangu.