Mathayo 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungiwe shingoni jiwe la kusagia+ kama lile ambalo huzungushwa na punda na azamishwe katika bahari kuu.+ Waroma 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ni vema kutokula nyama au kunywa divai au kufanya jambo lolote ambalo ndugu yako anakwazika juu yake.+ 2 Wakorintho 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ni nani aliye dhaifu,+ nami si dhaifu? Ni nani amekwazika, nami siwaki hasira?
6 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungiwe shingoni jiwe la kusagia+ kama lile ambalo huzungushwa na punda na azamishwe katika bahari kuu.+
21 Ni vema kutokula nyama au kunywa divai au kufanya jambo lolote ambalo ndugu yako anakwazika juu yake.+