Waroma 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo sisi na tusiwe tukihukumiana+ tena, bali badala yake fanyeni hili kuwa uamuzi+ wenu, kutokuweka mbele ya ndugu+ kikwazo+ au sababu ya kujikwaa. 1 Wakorintho 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo, ikiwa chakula kinamkwaza ndugu yangu,+ mimi sitakula nyama tena kamwe, ili nisije nikamkwaza+ ndugu yangu. 1 Wakorintho 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kila mmoja na aendelee kutafuta, si faida yake mwenyewe,+ bali ile ya yule mtu mwingine.+
13 Kwa hiyo sisi na tusiwe tukihukumiana+ tena, bali badala yake fanyeni hili kuwa uamuzi+ wenu, kutokuweka mbele ya ndugu+ kikwazo+ au sababu ya kujikwaa.
13 Kwa hiyo, ikiwa chakula kinamkwaza ndugu yangu,+ mimi sitakula nyama tena kamwe, ili nisije nikamkwaza+ ndugu yangu.