42 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoamini, ingekuwa afadhali ikiwa jiwe la kusagia kama lile ambalo huzungushwa na punda lingewekwa shingoni pake naye atupwe baharini.+
2 Ingekuwa afadhali zaidi kwake kama jiwe la kusagia lingening’inizwa shingoni mwake naye atupwe ndani ya bahari+ kuliko yeye kumkwaza mmoja wa wadogo hawa.+