6 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungiwe shingoni jiwe la kusagia+ kama lile ambalo huzungushwa na punda na azamishwe katika bahari kuu.+
42 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoamini, ingekuwa afadhali ikiwa jiwe la kusagia kama lile ambalo huzungushwa na punda lingewekwa shingoni pake naye atupwe baharini.+