Mathayo 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Acheni kuhukumu+ ili msihukumiwe; Yakobo 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kuna mmoja ambaye ni mpaji-sheria na mwamuzi,+ ambaye anaweza kuokoa na kuangamiza.+ Lakini wewe ni nani ili uwe ukimhukumu jirani yako?+
12 Kuna mmoja ambaye ni mpaji-sheria na mwamuzi,+ ambaye anaweza kuokoa na kuangamiza.+ Lakini wewe ni nani ili uwe ukimhukumu jirani yako?+