Zaburi 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ametenda kwa ulaini machoni pake mwenyewe+Asiweze kuliona kosa lake ili alichukie.+ Methali 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Njia zote za mwanadamu ni safi machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anazipima roho.+ Methali 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kuna kizazi cha watu walio safi machoni pao+ wenyewe lakini ambao bado hawajaoshwa mavi yao.+