Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 36:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana ametenda kwa ulaini machoni pake mwenyewe+

      Asiweze kuliona kosa lake ili alichukie.+

  • Isaya 65:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 wale wanaosema, ‘Kaa peke yako. Usinikaribie, kwa maana hakika nitakupa utakatifu.’+ Hawa ni moshi katika mianzi ya pua yangu,+ moto unaowaka mchana kutwa.+

  • Luka 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo akawaambia: “Ninyi ni wale mnaojitangaza kuwa waadilifu mbele ya macho ya wanadamu,+ lakini Mungu anaijua mioyo+ yenu; kwa sababu kilichoinuka sana kati ya wanadamu ni chukizo machoni pa Mungu.+

  • 2 Timotheo 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 wasaliti,+ wenye vichwa vigumu, wenye kujivuna kwa kiburi,+ wanaopenda raha badala ya kumpenda Mungu+

  • 1 Yohana 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kama tukisema: “Sisi hatuna dhambi yoyote,”+ tunajipotosha wenyewe+ na kweli haimo ndani yetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki