Mathayo 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa sababu hiyo wakati unapotoa zawadi za rehema,+ usipige tarumbeta+ mbele yako, kama vile wanafiki wanavyofanya katika masinagogi na barabarani, ili watukuzwe na watu. Kwa kweli ninawaambia ninyi, Wanapata thawabu yao kwa ukamili. Mathayo 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Katika njia hiyo ninyi pia, kwa kweli, mnaonekana kwa nje kuwa waadilifu kwa watu,+ lakini ndani mmejaa unafiki na uasi-sheria. Luka 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Lakini, akitaka kujionyesha kuwa mwadilifu, mtu huyo akamwambia Yesu: “Ni nani kwa kweli aliye jirani yangu?”+ Luka 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini akawaambia mfano huu pia baadhi ya wale waliokuwa wakiamini kwamba walikuwa waadilifu+ na kuwaona wale wengine kama si kitu:+
2 Kwa sababu hiyo wakati unapotoa zawadi za rehema,+ usipige tarumbeta+ mbele yako, kama vile wanafiki wanavyofanya katika masinagogi na barabarani, ili watukuzwe na watu. Kwa kweli ninawaambia ninyi, Wanapata thawabu yao kwa ukamili.
28 Katika njia hiyo ninyi pia, kwa kweli, mnaonekana kwa nje kuwa waadilifu kwa watu,+ lakini ndani mmejaa unafiki na uasi-sheria.
29 Lakini, akitaka kujionyesha kuwa mwadilifu, mtu huyo akamwambia Yesu: “Ni nani kwa kweli aliye jirani yangu?”+
9 Lakini akawaambia mfano huu pia baadhi ya wale waliokuwa wakiamini kwamba walikuwa waadilifu+ na kuwaona wale wengine kama si kitu:+