Isaya 65:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 wale wanaosema, ‘Kaa peke yako. Usinikaribie, kwa maana hakika nitakupa utakatifu.’+ Hawa ni moshi katika mianzi ya pua yangu,+ moto unaowaka mchana kutwa.+
5 wale wanaosema, ‘Kaa peke yako. Usinikaribie, kwa maana hakika nitakupa utakatifu.’+ Hawa ni moshi katika mianzi ya pua yangu,+ moto unaowaka mchana kutwa.+