Luka 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini akawaambia mfano huu pia baadhi ya wale waliokuwa wakiamini kwamba walikuwa waadilifu+ na kuwaona wale wengine kama si kitu:+ Luka 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yule Farisayo akasimama+ na kuanza kusali+ mambo haya akisema moyoni, ‘Ee Mungu, ninakushukuru ya kuwa mimi si kama wale watu wengine, wanyang’anyi, wasio waadilifu, wazinzi, au hata kama mkusanya-kodi huyu.+
9 Lakini akawaambia mfano huu pia baadhi ya wale waliokuwa wakiamini kwamba walikuwa waadilifu+ na kuwaona wale wengine kama si kitu:+
11 Yule Farisayo akasimama+ na kuanza kusali+ mambo haya akisema moyoni, ‘Ee Mungu, ninakushukuru ya kuwa mimi si kama wale watu wengine, wanyang’anyi, wasio waadilifu, wazinzi, au hata kama mkusanya-kodi huyu.+