-
Luka 18:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Yule Farisayo akasimama na kuanza kusali akisema moyoni, ‘Ee Mungu, ninakushukuru kwa sababu mimi si kama watu wengine—wanyang’anyi, wasio waadilifu, wazinzi—au hata kama mkusanya kodi huyu.
-
-
Luka 18:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Yule Farisayo alisimama na kuanza kusali mambo haya akijiambia, ‘Ee Mungu, mimi nakushukuru ya kuwa mimi si kama wale watu wengine, wanyang’anyi, wasio waadilifu, wazinzi, au hata kama mkusanya-kodi huyu.
-