36 Lakini katika Yopa+ kulikuwako mwanafunzi fulani aliyeitwa Tabitha, jina ambalo, linapotafsiriwa, linamaanisha Dorkasi. Huyo alizidi katika matendo mema+ na zawadi za rehema alizokuwa akitoa.
2 mtu mwenye kuheshimu+ na kumwogopa+ Mungu pamoja na watu wote wa nyumba yake, naye aliwapa watu+ zawadi nyingi za rehema na kuomba dua kwa Mungu sikuzote.+