Matendo 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini wanaume wenye kumheshimu Mungu wakamchukua Stefano kwenda kumzika,+ nao wakafanya maombolezo+ makubwa juu yake. Matendo 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Basi Anania, mwanamume fulani mwenye kumheshimu Mungu kulingana na Sheria, mwenye kushuhudiwa vema+ na Wayahudi wote waliokuwa wakikaa huko,
2 Lakini wanaume wenye kumheshimu Mungu wakamchukua Stefano kwenda kumzika,+ nao wakafanya maombolezo+ makubwa juu yake.
12 “Basi Anania, mwanamume fulani mwenye kumheshimu Mungu kulingana na Sheria, mwenye kushuhudiwa vema+ na Wayahudi wote waliokuwa wakikaa huko,