Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+ Amosi 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Chukieni yaliyo mabaya, pendeni yaliyo mema,+ na mwipatie haki nafasi langoni.+ Huenda ikawa Yehova Mungu wa majeshi atawapa kibali+ mabaki ya Yosefu.’+
10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+
15 Chukieni yaliyo mabaya, pendeni yaliyo mema,+ na mwipatie haki nafasi langoni.+ Huenda ikawa Yehova Mungu wa majeshi atawapa kibali+ mabaki ya Yosefu.’+