Zaburi 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Geuka kutoka katika yaliyo mabaya, na kufanya yaliyo mema;+Utafute amani, na kuifuatia.+ Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+ Waroma 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Upendo+ wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu,+ shikamaneni na mema.+ 3 Yohana 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mpendwa, uwe mwigaji, si wa yaliyo mabaya, bali wa yaliyo mema.+ Yeye ambaye hutenda mema anatokana na Mungu.+ Yeye ambaye hutenda mabaya hajamwona Mungu.+
10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+
11 Mpendwa, uwe mwigaji, si wa yaliyo mabaya, bali wa yaliyo mema.+ Yeye ambaye hutenda mema anatokana na Mungu.+ Yeye ambaye hutenda mabaya hajamwona Mungu.+