Waroma 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Upendo+ wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu,+ shikamaneni na mema.+ Waroma 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana wale wanaotawala ni kitu cha kuogopesha, si kwa kitendo chema, bali kwa kibaya.+ Basi, je, unataka usiogope hiyo mamlaka? Endelea kufanya mema,+ nayo itakusifu wewe; 1 Petro 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 bali na ageuke kutoka katika yaliyo mabaya+ na kufanya yaliyo mema; na atafute amani na kuifuatilia.+
3 Kwa maana wale wanaotawala ni kitu cha kuogopesha, si kwa kitendo chema, bali kwa kibaya.+ Basi, je, unataka usiogope hiyo mamlaka? Endelea kufanya mema,+ nayo itakusifu wewe;
11 bali na ageuke kutoka katika yaliyo mabaya+ na kufanya yaliyo mema; na atafute amani na kuifuatilia.+