17 Lakini hekima+ inayotoka juu kwanza kabisa ni safi kiadili,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haifanyi tofauti zenye ubaguzi,+ si ya kinafiki.+
11 Mpendwa, uwe mwigaji, si wa yaliyo mabaya, bali wa yaliyo mema.+ Yeye ambaye hutenda mema anatokana na Mungu.+ Yeye ambaye hutenda mabaya hajamwona Mungu.+