Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Geuka kutoka katika yaliyo mabaya, na kufanya yaliyo mema;+

      Utafute amani, na kuifuatia.+

  • 1 Wathesalonike 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na kuwafikiria kwa njia inayozidi ile ya kawaida katika upendo kwa sababu ya kazi yao.+ Iweni wenye kufanya amani mtu na mwenzake.+

  • Yakobo 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini hekima+ inayotoka juu kwanza kabisa ni safi kiadili,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haifanyi tofauti zenye ubaguzi,+ si ya kinafiki.+

  • 3 Yohana 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mpendwa, uwe mwigaji, si wa yaliyo mabaya, bali wa yaliyo mema.+ Yeye ambaye hutenda mema anatokana na Mungu.+ Yeye ambaye hutenda mabaya hajamwona Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki