Zaburi 37:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Geuka mbali kutoka kwa mambo mabaya na ufanye yaliyo mema,+Na hivyo ukae mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+ Methali 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+ Mwogope Yehova na ujiepushe na ubaya.+ Isaya 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+ Amosi 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Chukieni yaliyo mabaya, pendeni yaliyo mema,+ na mwipatie haki nafasi langoni.+ Huenda ikawa Yehova Mungu wa majeshi atawapa kibali+ mabaki ya Yosefu.’+ Waroma 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Upendo+ wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu,+ shikamaneni na mema.+
27 Geuka mbali kutoka kwa mambo mabaya na ufanye yaliyo mema,+Na hivyo ukae mpaka wakati usio na kipimo.+
10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+
16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+
15 Chukieni yaliyo mabaya, pendeni yaliyo mema,+ na mwipatie haki nafasi langoni.+ Huenda ikawa Yehova Mungu wa majeshi atawapa kibali+ mabaki ya Yosefu.’+