Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Geuka mbali kutoka kwa mambo mabaya na ufanye yaliyo mema,+

      Na hivyo ukae mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Zaburi 97:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+

      Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+

      Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+

  • Methali 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+ Mwogope Yehova na ujiepushe na ubaya.+

  • Isaya 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+

  • Amosi 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Chukieni yaliyo mabaya, pendeni yaliyo mema,+ na mwipatie haki nafasi langoni.+ Huenda ikawa Yehova Mungu wa majeshi atawapa kibali+ mabaki ya Yosefu.’+

  • Waroma 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Upendo+ wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu,+ shikamaneni na mema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki