Methali 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, umemwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe?+ Kuna tumaini zaidi kwa mjinga+ kuliko kwake. Isaya 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ole wao walio na hekima machoni pao wenyewe, walio na busara mbele ya nyuso zao wenyewe!+ Waroma 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+
12 Je, umemwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe?+ Kuna tumaini zaidi kwa mjinga+ kuliko kwake.
16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+