Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Njia ya mpumbavu ni sawa machoni pake,+ lakini anayesikiliza shauri ni mwenye hekima.+

  • Waroma 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+

  • 1 Wakorintho 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yeyote asiwe akijishawishi mwenyewe: Yeyote kati yenu akifikiri yeye ni mwenye hekima+ katika mfumo huu wa mambo, acheni awe mpumbavu, ili awe mwenye hekima.+

  • 1 Wakorintho 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yeyote akifikiri amejipatia ujuzi juu ya kitu fulani,+ bado hajakijua kama vile anavyopaswa kukijua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki