8 Na bwana wake akamsifu yule msimamizi, kwa sababu alikuwa ametenda kwa hekima inayotumika,+ ingawa si mwadilifu; kwa maana wana wa mfumo huu wa mambo wana hekima zaidi kwa njia inayotumika kuelekea kizazi chao wenyewe kuliko vile walivyo wana wa nuru.+