Yohana 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Wakati mna nuru, iweni na imani katika nuru, ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo akaenda zake na kujificha mbali nao. Waefeso 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa maana wakati mmoja ninyi mlikuwa giza,+ bali sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana. Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru, 1 Wathesalonike 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa maana ninyi nyote ni wana wa nuru+ na wana wa mchana.+ Sisi si wa usiku wala si wa giza.+
36 Wakati mna nuru, iweni na imani katika nuru, ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo akaenda zake na kujificha mbali nao.
8 kwa maana wakati mmoja ninyi mlikuwa giza,+ bali sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana. Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru,