Yohana 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Wakati mna nuru, iweni na imani katika nuru, ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo akaenda zake na kujificha mbali nao.
36 Wakati mna nuru, iweni na imani katika nuru, ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo akaenda zake na kujificha mbali nao.