Methali 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+ Mwogope Yehova na ujiepushe na ubaya.+ Methali 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, umemwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe?+ Kuna tumaini zaidi kwa mjinga+ kuliko kwake. Wagalatia 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anaidanganya akili yake mwenyewe.
12 Je, umemwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe?+ Kuna tumaini zaidi kwa mjinga+ kuliko kwake.
3 Kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anaidanganya akili yake mwenyewe.