3 Kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa namwambia kila mtu hapo kati yenu asijifikirie mwenyewe zaidi kuliko ilivyo lazima kufikiri;+ bali kufikiri ili awe na akili timamu,+ kila mmoja kama Mungu alivyomgawia kipimo+ cha imani.+
5 Si kwamba sisi wenyewe tuna sifa za kustahili vya kutosha kuhesabu kuwa jambo lolote linatoka kwetu wenyewe,+ bali kuwa kwetu na sifa za kustahili vya kutosha hutoka kwa Mungu,+
11 Nimekuwa mtu asiye na akili. Ninyi mlinilazimisha+ kuwa hivyo, kwa maana ninyi mlipaswa kunipendekeza. Kwa maana hata katika jambo moja sikuwa mdogo kwa mitume wenu walio bora sana,+ hata kama mimi si kitu.+