18 Kwa maana sitathubutu kusema jambo moja ikiwa hilo si kati ya mambo yale ambayo Kristo alifanya kupitia mimi+ ili mataifa yawe yenye utiifu,+ kwa njia ya neno+ na tendo langu,
7 Bali tunasema hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliagiza kimbele kabla ya mifumo+ ya mambo kwa ajili ya utukufu wetu.