15 Nami+ nitaweka uadui+ kati yako+ na yule mwanamke+ na kati ya uzao wako+ na uzao wake.+ Yeye+ atakuponda+ kichwa+ nawe+ utamtia jeraha+ kwenye kisigino.”+
25 Sasa kwa yeye+ anayeweza kuwafanya ninyi kuwa imara kulingana na habari njema ninayotangaza na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kwa kupatana na ufunuo wa siri takatifu+ ambayo imewekwa katika siri tangu nyakati za zamani za kale
9 na kufanya watu waone jinsi siri takatifu+ inavyosimamiwa+ ambayo tangu wakati uliopita usio na kipimo imefichwa katika Mungu, aliyeviumba vitu vyote.+