1 Wakorintho 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Bali tunasema hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliagiza kimbele kabla ya mifumo+ ya mambo kwa ajili ya utukufu wetu. Waefeso 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 kwa kuwa alitujulisha siri takatifu+ ya mapenzi yake. Ni kulingana na upendezi wake mwema alioukusudia ndani yake mwenyewe+
7 Bali tunasema hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliagiza kimbele kabla ya mifumo+ ya mambo kwa ajili ya utukufu wetu.
9 kwa kuwa alitujulisha siri takatifu+ ya mapenzi yake. Ni kulingana na upendezi wake mwema alioukusudia ndani yake mwenyewe+