Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 2:1

Marejeo

  • +1Ko 1:17; 2Ko 10:10; 11:6
  • +Efe 3:5; Kol 2:2

1 Wakorintho 2:2

Marejeo

  • +Gal 6:14; Flp 3:8

1 Wakorintho 2:3

Marejeo

  • +2Ko 10:1; Gal 4:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 27

1 Wakorintho 2:4

Marejeo

  • +Ro 15:19; 1Ko 4:20; 1Th 1:5; 2Pe 1:16

1 Wakorintho 2:5

Marejeo

  • +Efe 1:17
  • +2Ko 4:7; 6:7

1 Wakorintho 2:6

Marejeo

  • +1Ko 14:20; Efe 4:13; Ebr 5:14
  • +1Ko 3:20; 2Ko 1:12; 1Ti 6:20
  • +Mt 20:25
  • +1Ko 15:24

1 Wakorintho 2:7

Marejeo

  • +Mwa 3:15; Ro 16:25; Efe 3:9
  • +Kol 1:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 189-198

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2003, kur. 24-25

    6/1/1997, uku. 13

    8/15/1994, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 6/15 24-25; cl 189, 191-198; w97 6/1 13

1 Wakorintho 2:8

Marejeo

  • +Yoh 7:48; Mdo 13:27
  • +1Ko 1:18; 2Ko 3:14
  • +Mdo 4:10; 5:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1986, kur. 6-7

1 Wakorintho 2:9

Marejeo

  • +Isa 64:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Unabii wa Isaya II, uku. 366

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/1989, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    ip-2 366

1 Wakorintho 2:10

Marejeo

  • +Kum 29:29; Mt 16:17; Mk 4:11; Efe 3:5; 2Ti 1:10; 1Pe 1:12
  • +Yoh 14:26; 1Yo 2:27
  • +Ro 8:26
  • +Ayu 11:7; Ro 11:33; Efe 3:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    7/15/2010, kur. 20-24

    11/1/2007, kur. 27-29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 7/15 20-24; w07 11/1 27-29

1 Wakorintho 2:11

Marejeo

  • +Ro 1:9; 8:16
  • +Yoh 14:17; Ro 8:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    2/8/1998, kur. 14-15

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1994, uku. 18

    4/1/1987, kur. 16-17

  • Fahirishi ya Machapisho

    g98 2/8 15

1 Wakorintho 2:12

Marejeo

  • +1Yo 4:3; 5:19; Ufu 16:14
  • +Yoh 15:26
  • +1Yo 4:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 63-64

    “Upendo wa Mungu,” kur. 53-56

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2012, uku. 13

    7/15/2010, kur. 3-4

    10/1/2006, kur. 23-24

    4/1/2004, kur. 9-14

    9/1/1999, kur. 8-9

    10/1/1997, kur. 25-26

    4/1/1994, kur. 14-18

    12/15/1987, uku. 30

    9/15/1987, kur. 11, 16

    Amkeni!,

    12/2009, kur. 12-13

    Kutoa Sababu, uku. 247

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 10/15 13; w10 7/15 4; g 12/09 12-13; lv 53-56; w06 10/1 23-24; w04 4/1 9-14; rs 247; w99 9/1 8-9; w97 10/1 26

1 Wakorintho 2:13

Marejeo

  • +Kol 2:8; 1Ti 6:20; 2Pe 1:16
  • +Yoh 16:13
  • +Met 1:23; Yoh 6:63

1 Wakorintho 2:14

Marejeo

  • +Mt 16:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2018, uku. 19

    Amkeni!,

    12/2009, kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1989, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 12/09 12-13

1 Wakorintho 2:15

Marejeo

  • +Ro 8:5
  • +1Ko 4:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2018, kur. 19-20

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1989, kur. 12-13

1 Wakorintho 2:16

Marejeo

  • +Ro 11:34
  • +Isa 40:13
  • +Ro 15:5; Flp 2:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2022, uku. 9

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2018, uku. 22

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2015, uku. 13

    10/15/2010, kur. 3-7

    7/15/2008, uku. 27

    8/1/2007, kur. 4-7

    3/15/2002, uku. 18

    2/15/2000, kur. 10-25

    9/1/1998, uku. 6

    6/15/1995, kur. 22-23

    12/1/1986, kur. 10-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/15 3-7; w08 7/15 27; w07 8/1 4-7; w02 3/15 18; w00 2/15 10-25; w98 9/1 6

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 2:11Ko 1:17; 2Ko 10:10; 11:6
1 Kor. 2:1Efe 3:5; Kol 2:2
1 Kor. 2:2Gal 6:14; Flp 3:8
1 Kor. 2:32Ko 10:1; Gal 4:13
1 Kor. 2:4Ro 15:19; 1Ko 4:20; 1Th 1:5; 2Pe 1:16
1 Kor. 2:5Efe 1:17
1 Kor. 2:52Ko 4:7; 6:7
1 Kor. 2:61Ko 14:20; Efe 4:13; Ebr 5:14
1 Kor. 2:61Ko 3:20; 2Ko 1:12; 1Ti 6:20
1 Kor. 2:6Mt 20:25
1 Kor. 2:61Ko 15:24
1 Kor. 2:7Mwa 3:15; Ro 16:25; Efe 3:9
1 Kor. 2:7Kol 1:26
1 Kor. 2:8Yoh 7:48; Mdo 13:27
1 Kor. 2:81Ko 1:18; 2Ko 3:14
1 Kor. 2:8Mdo 4:10; 5:30
1 Kor. 2:9Isa 64:4
1 Kor. 2:10Kum 29:29; Mt 16:17; Mk 4:11; Efe 3:5; 2Ti 1:10; 1Pe 1:12
1 Kor. 2:10Yoh 14:26; 1Yo 2:27
1 Kor. 2:10Ro 8:26
1 Kor. 2:10Ayu 11:7; Ro 11:33; Efe 3:18
1 Kor. 2:11Ro 1:9; 8:16
1 Kor. 2:11Yoh 14:17; Ro 8:27
1 Kor. 2:121Yo 4:3; 5:19; Ufu 16:14
1 Kor. 2:12Yoh 15:26
1 Kor. 2:121Yo 4:6
1 Kor. 2:13Yoh 16:13
1 Kor. 2:13Met 1:23; Yoh 6:63
1 Kor. 2:13Kol 2:8; 1Ti 6:20; 2Pe 1:16
1 Kor. 2:14Mt 16:23
1 Kor. 2:15Ro 8:5
1 Kor. 2:151Ko 4:3
1 Kor. 2:16Ro 11:34
1 Kor. 2:16Isa 40:13
1 Kor. 2:16Ro 15:5; Flp 2:5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 2:1-16

1 Wakorintho

2 Na kwa hiyo mimi, nilipokuja kwenu, akina ndugu, sikuja na wingi wa maneno+ au wa hekima nikiwatangazia siri takatifu+ ya Mungu. 2 Kwa maana niliamua kutojua kitu chochote katikati yenu isipokuwa Yesu Kristo,+ naye akiwa ametundikwa mtini. 3 Nami nilikuja kwenu katika udhaifu na katika woga na kwa kutetemeka kwingi;+ 4 na maneno yangu na mambo niliyohubiri hayakuwa kwa maneno yenye kushawishi ya hekima bali kwa wonyesho wa roho na nguvu,+ 5 ili imani yenu iwe, si katika hekima+ ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.+

6 Basi tunasema hekima katikati ya wale ambao ni wakomavu,+ lakini si hekima+ ya mfumo huu wa mambo wala ile ya watawala wa mfumo huu wa mambo,+ ambao watakuja kuwa si kitu.+ 7 Bali tunasema hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliagiza kimbele kabla ya mifumo+ ya mambo kwa ajili ya utukufu wetu. 8 Hekima hii hakuna hata mmoja wa watawala+ wa mfumo huu wa mambo aliyeijua,+ kwa maana kama wao wangaliijua hawangalimtundika mtini+ Bwana mwenye utukufu. 9 Lakini kama ilivyoandikwa: “Jicho halijaona na sikio halijasikia, wala hayajawaziwa katika moyo wa mwanadamu mambo ambayo Mungu amewatayarishia wale wanaompenda.”+ 10 Kwa maana ni kwetu sisi Mungu ameyafunua+ kupitia roho+ yake, kwa maana roho+ huchunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito+ ya Mungu.

11 Kwa maana ni nani kati ya wanadamu anayejua mambo ya mwanadamu isipokuwa roho+ ya mwanadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo, pia, hakuna ambaye amekuja kuyajua mambo ya Mungu, isipokuwa roho+ ya Mungu. 12 Basi sisi tulipokea, si roho+ ya ulimwengu, bali roho+ inayotoka kwa Mungu, ili tuyajue mambo ambayo Mungu ametupa sisi kwa fadhili.+ 13 Mambo hayo tunayasema pia, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya binadamu,+ bali kwa yale yanayofundishwa kwa roho,+ tunapounganisha mambo ya kiroho pamoja na maneno ya kiroho.+

14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho. 15 Hata hivyo, mtu wa kiroho+ huchunguza mambo yote, lakini yeye mwenyewe hachunguzwi+ na mwanadamu yeyote. 16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,+ ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili+ ya Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki