Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 3:1

Marejeo

  • +Mt 5:3; 1Ko 2:15; Kol 1:9; Yud 19
  • +1Ko 14:20

1 Wakorintho 3:2

Marejeo

  • +Ebr 5:12, 14
  • +Ebr 5:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/1996, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 1/1 29

1 Wakorintho 3:3

Marejeo

  • +Ro 8:7; Gal 5:17
  • +Ro 13:13; 2Ko 12:20; Gal 5:19
  • +1Pe 4:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1991, kur. 21-22

1 Wakorintho 3:4

Marejeo

  • +1Ko 1:12; 11:18

1 Wakorintho 3:5

Marejeo

  • +Mdo 18:24
  • +2Ko 3:6; Kol 1:23; 1Ti 1:12

1 Wakorintho 3:6

Marejeo

  • +Mdo 18:4
  • +Mdo 18:25, 28; 19:1
  • +Isa 55:10; 2Ko 9:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2021, uku. 3

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1999, uku. 12

    10/1/1996, uku. 22

    3/1/1993, kur. 20-23

    Huduma ya Ufalme,

    8/1991, kur. 3-4

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 7/15 12; w96 10/1 22

1 Wakorintho 3:7

Marejeo

  • +2Ko 12:11; Gal 6:3
  • +Ro 9:16; 2Ko 6:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, kur. 12, 16

    3/1/1993, kur. 20-23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 12, 16

1 Wakorintho 3:8

Marejeo

  • +Gal 3:28
  • +Ro 2:6; 1Ko 4:5; Flp 2:13; Ufu 22:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    5/2018, uku. 15

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, uku. 92

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 14

    Utatu, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 14

1 Wakorintho 3:9

Marejeo

  • +1Ko 3:6
  • +Mt 13:38
  • +Efe 2:22; 1Pe 2:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Mfuasi Wangu’, uku. 132

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2021, uku. 3

    Furahia Maisha Milele!, somo la 21

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2018, uku. 23

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2012, uku. 17

    7/15/1999, uku. 12

    11/1/1998, uku. 8

    3/1/1993, uku. 21

    3/15/1988, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 11/15 17; cf 132; w99 7/15 12; w98 11/1 8

1 Wakorintho 3:10

Marejeo

  • +1Ko 15:10
  • +Ro 15:20; Ebr 6:1
  • +1Pe 4:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1999, uku. 13

    11/1/1998, kur. 8-10, 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 7/15 13; w98 11/1 8-10, 14-15

1 Wakorintho 3:11

Marejeo

  • +Isa 28:16; 1Pe 2:6
  • +Zb 118:22; Mt 21:42; Mdo 4:11; Efe 2:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1999, kur. 13-14

    11/1/1998, kur. 9-10

    7/1/1991, kur. 24-25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 7/15 13-14; w98 11/1 9-10

1 Wakorintho 3:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1999, kur. 12-13

    11/1/1998, kur. 10-13

    7/1/1991, uku. 26

    Furaha ya Familia, uku. 55

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 7/15 12-13; w98 11/1 10-13; fy 55

1 Wakorintho 3:13

Marejeo

  • +Da 11:35; Zek 13:9; 1Pe 1:7; 4:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1999, kur. 12-13

    12/15/1998, uku. 30

    11/1/1998, kur. 10-11

    7/1/1991, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 7/15 12-13; w98 11/1 10-11; w98 12/15 30

1 Wakorintho 3:14

Marejeo

  • +Mt 7:25
  • +1Ko 9:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1998, kur. 11-12

    7/1/1991, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 11/1 11-12

1 Wakorintho 3:15

Marejeo

  • +Eze 3:19
  • +Yud 23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1998, kur. 11-13

    Kutoa Sababu, uku. 302

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 302; w98 11/1 11-13

1 Wakorintho 3:16

Marejeo

  • +2Ko 6:16; Efe 2:21; 1Pe 2:5
  • +Ro 8:9; 1Ko 6:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Upeo wa Ufunuo, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 29

1 Wakorintho 3:17

Marejeo

  • +Isa 54:15; 2Th 1:6
  • +Zb 11:4
  • +1Pe 2:5
  • +2Ko 6:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wakorintho 3:18

Marejeo

  • +Met 3:7; Lu 16:8
  • +Da 12:3, 10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/1992, uku. 24

1 Wakorintho 3:19

Marejeo

  • +1Ko 1:20
  • +Ayu 5:13; Lu 20:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 5

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    5/2019, kur. 21-25

1 Wakorintho 3:20

Marejeo

  • +Zb 94:11

1 Wakorintho 3:21

Marejeo

  • +2Ko 4:15

1 Wakorintho 3:22

Marejeo

  • +1Ko 1:12
  • +Ro 8:38

1 Wakorintho 3:23

Marejeo

  • +Yoh 17:9; 2Ko 10:7
  • +1Ko 11:3

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 3:1Mt 5:3; 1Ko 2:15; Kol 1:9; Yud 19
1 Kor. 3:11Ko 14:20
1 Kor. 3:2Ebr 5:12, 14
1 Kor. 3:2Ebr 5:13
1 Kor. 3:3Ro 8:7; Gal 5:17
1 Kor. 3:3Ro 13:13; 2Ko 12:20; Gal 5:19
1 Kor. 3:31Pe 4:3
1 Kor. 3:41Ko 1:12; 11:18
1 Kor. 3:5Mdo 18:24
1 Kor. 3:52Ko 3:6; Kol 1:23; 1Ti 1:12
1 Kor. 3:6Mdo 18:4
1 Kor. 3:6Mdo 18:25, 28; 19:1
1 Kor. 3:6Isa 55:10; 2Ko 9:10
1 Kor. 3:72Ko 12:11; Gal 6:3
1 Kor. 3:7Ro 9:16; 2Ko 6:1
1 Kor. 3:8Gal 3:28
1 Kor. 3:8Ro 2:6; 1Ko 4:5; Flp 2:13; Ufu 22:12
1 Kor. 3:91Ko 3:6
1 Kor. 3:9Mt 13:38
1 Kor. 3:9Efe 2:22; 1Pe 2:5
1 Kor. 3:101Ko 15:10
1 Kor. 3:10Ro 15:20; Ebr 6:1
1 Kor. 3:101Pe 4:11
1 Kor. 3:11Isa 28:16; 1Pe 2:6
1 Kor. 3:11Zb 118:22; Mt 21:42; Mdo 4:11; Efe 2:20
1 Kor. 3:13Da 11:35; Zek 13:9; 1Pe 1:7; 4:12
1 Kor. 3:14Mt 7:25
1 Kor. 3:141Ko 9:17
1 Kor. 3:15Eze 3:19
1 Kor. 3:15Yud 23
1 Kor. 3:162Ko 6:16; Efe 2:21; 1Pe 2:5
1 Kor. 3:16Ro 8:9; 1Ko 6:19
1 Kor. 3:17Isa 54:15; 2Th 1:6
1 Kor. 3:17Zb 11:4
1 Kor. 3:171Pe 2:5
1 Kor. 3:172Ko 6:16
1 Kor. 3:18Met 3:7; Lu 16:8
1 Kor. 3:18Da 12:3, 10
1 Kor. 3:191Ko 1:20
1 Kor. 3:19Ayu 5:13; Lu 20:23
1 Kor. 3:20Zb 94:11
1 Kor. 3:212Ko 4:15
1 Kor. 3:221Ko 1:12
1 Kor. 3:22Ro 8:38
1 Kor. 3:23Yoh 17:9; 2Ko 10:7
1 Kor. 3:231Ko 11:3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 3:1-23

1 Wakorintho

3 Na kwa hiyo, akina ndugu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho,+ bali kama watu wa kimwili, kama watoto+ katika Kristo. 2 Niliwalisha ninyi maziwa, si chakula,+ kwa maana mlikuwa bado hamna nguvu za kutosha. Kwa kweli, hata sasa hamna nguvu za kutosha,+ 3 kwa maana bado ninyi ni wa kimwili.+ Kwa kuwa kuna wivu na mizozo kati yenu,+ je, ninyi si wa kimwili na je, hamtembei kama wanadamu wanavyotembea?+ 4 Kwa maana mtu anaposema: “Mimi ni wa Paulo,” lakini mwingine anasema: “Mimi ni wa Apolo,”+ je, ninyi si wanadamu tu?

5 Basi, Apolo+ ni nani? Ndiyo, Paulo ni nani? Wahudumu+ ambao kupitia wao mlikuja kuwa waamini, kama vile Bwana alivyompa kila mmoja. 6 Mimi nilipanda,+ Apolo akatia maji,+ lakini Mungu akaendelea kuikuza;+ 7 hivi kwamba yeye anayepanda si kitu+ wala yeye anayetia maji, bali Mungu anayeikuza.+ 8 Basi yeye anayepanda na yeye anayetia maji ni kitu kimoja,+ lakini kila mtu atapokea thawabu yake mwenyewe kulingana na kazi yake mwenyewe.+ 9 Kwa maana sisi ni wafanyakazi wenzi wa Mungu.+ Ninyi ni shamba la Mungu linalolimwa,+ jengo la Mungu.+

10 Kulingana na fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu nilizopewa, mimi kama msimamizi wa ujenzi mwenye hekima niliweka msingi,+ lakini mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja na aendelee kuangalia jinsi anavyojenga juu yake.+ 11 Kwa maana hakuna mtu anayeweza kuweka msingi+ mwingine wowote kuliko ule uliowekwa, ambao ni Yesu Kristo.+ 12 Basi yeyote akijenga juu ya msingi huo dhahabu, fedha, mawe ya thamani, vifaa vya mbao, nyasi kavu, majani makavu, 13 kazi ya kila mmoja itafunuliwa, kwa maana ile siku itaifichua, kwa sababu itafunuliwa kwa njia ya moto;+ na moto wenyewe utaonyesha kazi ya kila mmoja ni ya aina gani. 14 Kazi ya yeyote ambayo ameijenga juu yake ikibaki,+ atapokea thawabu;+ 15 kazi ya yeyote ikiteketea, atapata hasara, lakini yeye mwenyewe ataokolewa;+ lakini, ikiwa hivyo, itakuwa ni kama kupitia katika moto.+

16 Je, hamjui kwamba ninyi ni hekalu la Mungu,+ na kwamba roho ya Mungu inakaa ndani yenu?+ 17 Yeyote akiliangamiza hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza yeye;+ kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu,+ nanyi ni+ hekalu+ hilo.

18 Yeyote asiwe akijishawishi mwenyewe: Yeyote kati yenu akifikiri yeye ni mwenye hekima+ katika mfumo huu wa mambo, acheni awe mpumbavu, ili awe mwenye hekima.+ 19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu;+ kwa maana imeandikwa: “Yeye huwakamata wenye hekima katika ujanja+ wao wenyewe.” 20 Na tena: “Yehova anajua kwamba kufikiri kwa watu wenye hekima ni kwa ubatili.”+ 21 Kwa hiyo yeyote asiwe akijisifu katika watu; kwa maana vitu vyote ni vyenu,+ 22 kama ni Paulo au Apolo+ au Kefa au ulimwengu au uzima au kifo au mambo yaliyo hapa sasa au mambo yatakayokuja,+ vitu vyote ni vyenu; 23 nanyi ni wa Kristo;+ naye Kristo ni wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki