10 Kwa maana kama vile mvua inayonyesha hushuka, na theluji, kutoka mbinguni nayo hairudi mahali pale, mpaka kwa kweli iwe imeinywesha dunia na kuifanya izae na kuchipuka,+ na mbegu kweli iwe imepewa mpandaji na mkate kupewa anayekula,+
10 Basi yeye ambaye humgawia mpandaji wa mbegu kwa wingi na mkate wa kula+ atawagawia na kuwazidishia ninyi mbegu ili mpande naye ataongeza mazao ya uadilifu wenu.)+