Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho 9:1

Marejeo

  • +Ro 15:26; 1Ko 16:1; 2Ko 8:4; 9:12

2 Wakorintho 9:2

Marejeo

  • +2Ko 8:10

2 Wakorintho 9:3

Marejeo

  • +2Ko 8:6

2 Wakorintho 9:5

Marejeo

  • +2Ko 9:2
  • +Isa 32:8

2 Wakorintho 9:6

Marejeo

  • +Met 11:24; Gal 6:7
  • +Met 19:17; 22:9; Mhu 11:1; Lu 6:38

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1986, kur. 15-20

2 Wakorintho 9:7

Marejeo

  • +Kum 15:7, 10; Met 22:8
  • +Kut 22:29; 1Nya 29:17; Met 11:25; Mdo 20:35; Ro 12:8; Ebr 13:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 155

    Furahia Maisha Milele!, somo la 55

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, uku. 196

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2013, uku. 13

    12/1/2012, uku. 5

    11/1/1998, uku. 26

    12/1/1992, uku. 15

    1/15/1992, kur. 14-15, 18-19

    Amkeni!,

    5/2008, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 12/1 5; g 5/08 21; w98 11/1 26

2 Wakorintho 9:8

Marejeo

  • +Met 28:27; Mal 3:10; Efe 4:28; Flp 4:19; Tit 2:14

2 Wakorintho 9:9

Marejeo

  • +Zb 112:9

2 Wakorintho 9:10

Marejeo

  • +Kum 30:9; Isa 55:10
  • +Ho. 10:12

2 Wakorintho 9:11

Marejeo

  • +2Ko 1:11; 4:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, kur. 210-212

2 Wakorintho 9:12

Marejeo

  • +Ro 15:27; 2Ko 8:14; Gal 6:6; Flp 4:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, kur. 210-213

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2000, kur. 11-12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 11/15 11-12

2 Wakorintho 9:13

Marejeo

  • +Ro 6:17; 2Ko 7:15
  • +Mt 5:16; Ebr 13:16; Yak 1:27; 1Yo 3:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, kur. 210-212

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1986, uku. 14

2 Wakorintho 9:14

Marejeo

  • +Mdo 20:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, kur. 210-212, 216

2 Wakorintho 9:15

Marejeo

  • +Yoh 1:17; Ro 3:24; 5:15; Efe 3:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 2 2017, uku. 4

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2015, uku. 14

    12/1/1993, uku. 28

    1/15/1992, uku. 19

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, kur. 210-212

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 9:1Ro 15:26; 1Ko 16:1; 2Ko 8:4; 9:12
2 Kor. 9:22Ko 8:10
2 Kor. 9:32Ko 8:6
2 Kor. 9:52Ko 9:2
2 Kor. 9:5Isa 32:8
2 Kor. 9:6Met 11:24; Gal 6:7
2 Kor. 9:6Met 19:17; 22:9; Mhu 11:1; Lu 6:38
2 Kor. 9:7Kum 15:7, 10; Met 22:8
2 Kor. 9:7Kut 22:29; 1Nya 29:17; Met 11:25; Mdo 20:35; Ro 12:8; Ebr 13:16
2 Kor. 9:8Met 28:27; Mal 3:10; Efe 4:28; Flp 4:19; Tit 2:14
2 Kor. 9:9Zb 112:9
2 Kor. 9:10Kum 30:9; Isa 55:10
2 Kor. 9:10Ho. 10:12
2 Kor. 9:112Ko 1:11; 4:15
2 Kor. 9:12Ro 15:27; 2Ko 8:14; Gal 6:6; Flp 4:18
2 Kor. 9:13Ro 6:17; 2Ko 7:15
2 Kor. 9:13Mt 5:16; Ebr 13:16; Yak 1:27; 1Yo 3:17
2 Kor. 9:14Mdo 20:24
2 Kor. 9:15Yoh 1:17; Ro 3:24; 5:15; Efe 3:7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 9:1-15

2 Wakorintho

9 Basi kuhusu huduma+ ambayo ni kwa ajili ya watakatifu, ni jambo la ziada mimi kuwaandikia ninyi, 2 kwa maana naujua utayari wenu wa akili ambao najisifia kwa Wamakedonia juu yenu, kwamba Akaya imesimama tayari kwa mwaka mmoja+ sasa, na bidii yenu imewachochea walio wengi kati yao. 3 Lakini ninawatuma akina ndugu, ili kujisifu kwetu juu yenu kusiwe kwa bure kwa habari hii, bali ili muwe tayari kwelikweli,+ kama nilivyokuwa nikisema mngekuwa. 4 Kama sivyo, kwa njia fulani, Wamakedonia wakija pamoja nami na kuwakuta mkiwa hamko tayari, sisi—sisemi ninyi—tutaona aibu katika huu uhakikisho wetu. 5 Kwa hiyo niliona kuwa ni jambo la lazima niwatie moyo akina ndugu watangulie kuja kwenu na kuitayarisha mapema zawadi yenu ya ukarimu iliyoahidiwa hapo mwanzoni,+ ili kwamba hiyo iwe tayari kama zawadi ya ukarimu na si kama kitu kilichopatikana kwa kunyang’anywa.+

6 Lakini kuhusu hili, yeye anayepanda kwa uhaba+ atavuna pia kwa uhaba; na yeye anayepanda kwa wingi+ atavuna pia kwa wingi. 7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda+ wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+

8 Zaidi ya hayo, Mungu anaweza kufanya fadhili zake zote zisizostahiliwa ziwe nyingi kuwaelekea ninyi, ili, ijapokuwa sikuzote mna ujitoshelevu kamili katika kila kitu, muwe na vingi kwa ajili ya kila kazi njema.+ 9 (Kama ilivyoandikwa: “Amegawa kwa wingi, amewapa maskini, uadilifu wake unaendelea milele.”+ 10 Basi yeye ambaye humgawia mpandaji wa mbegu kwa wingi na mkate wa kula+ atawagawia na kuwazidishia ninyi mbegu ili mpande naye ataongeza mazao ya uadilifu wenu.)+ 11 Katika kila kitu mnatajirishwa kwa ajili ya kila namna ya ukarimu, ambao hutokeza kupitia sisi wonyesho wa shukrani kwa Mungu;+ 12 kwa sababu huduma ya utumishi huu wa watu wote si kugawa tu kwa wingi mahitaji ya watakatifu+ bali pia kuwa matajiri kwa maonyesho mengi ya shukrani kwa Mungu. 13 Kupitia uthibitisho ambao huduma hii hutoa, wao wanamtukuza Mungu kwa sababu mnajitiisha kwenye habari njema juu ya Kristo,+ mnapotangaza waziwazi kuwa mko hivyo, na kwa sababu ninyi ni wakarimu katika mchango wenu kwao na kwa wote;+ 14 nao kupitia dua kwa ajili yenu wanatamani kuwaona ninyi kwa sababu ya fadhili nyingi zaidi zisizostahiliwa+ za Mungu juu yenu.

15 Mungu apewe shukrani kwa ajili ya zawadi yake ya bure isiyoelezeka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki