Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo.

  • Waroma 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 nayo ni zawadi ya bure+ kwamba wanatangazwa kuwa waadilifu kwa fadhili zake zisizostahiliwa+ kupitia kuachiliwa huru kwa njia ya fidia+ ambayo Kristo Yesu alilipa.

  • Waroma 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini sivyo ilivyo kwa ile zawadi kama ilivyokuwa kwa lile kosa. Kwa maana ikiwa kwa kosa la mtu mmoja wengi walikufa, fadhili zisizostahiliwa za Mungu na zawadi yake ya bure ikiwa pamoja na fadhili zisizostahiliwa kupitia mtu mmoja+ Yesu Kristo zilizidi sana kwa wengi.+

  • Waefeso 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mimi nilikuja kuwa mhudumu+ wa hilo kulingana na zawadi ya bure ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu nilizopewa kulingana na njia ambayo nguvu zake hutenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki