17 Kwa maana ikiwa kwa kosa la mtu mmoja+ kifo kilitawala kama mfalme+ kupitia mtu huyo, wale wanaopokea wingi wa fadhili zisizostahiliwa+ na zawadi ya bure+ ya uadilifu watatawala hata zaidi wakiwa wafalme+ katika uzima kupitia mtu mmoja, Yesu Kristo.+
7 Kwa njia yake tuna kuachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu+ ya huyo, ndiyo, msamaha+ wa makosa yetu, kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.+