Matendo 13:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Kwa hiyo acheni ijulikane kwenu, akina ndugu, kwamba kupitia Huyo msamaha wa dhambi unatangazwa kwenu;+ Wakolosai 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ambaye kwa njia yake tunaachiliwa huru kupitia fidia, kusamehewa dhambi zetu.+ Wakolosai 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zaidi ya hilo, ingawa mlikuwa wafu katika makosa yenu na katika hali ya kutotahiriwa ya mwili wenu, Mungu aliwafanya ninyi kuwa hai pamoja naye.+ Yeye alitusamehe kwa fadhili makosa yetu yote+
38 “Kwa hiyo acheni ijulikane kwenu, akina ndugu, kwamba kupitia Huyo msamaha wa dhambi unatangazwa kwenu;+
13 Zaidi ya hilo, ingawa mlikuwa wafu katika makosa yenu na katika hali ya kutotahiriwa ya mwili wenu, Mungu aliwafanya ninyi kuwa hai pamoja naye.+ Yeye alitusamehe kwa fadhili makosa yetu yote+