Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Jiangalieni+ ninyi wenyewe+ na kundi lote,+ ambalo roho takatifu imewaweka ninyi rasmi kuwa waangalizi+ kati yake, kulichunga kutaniko la Mungu,+ ambalo alilinunua kwa damu+ ya Mwana wake mwenyewe.

  • Waroma 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+

  • Ufunuo 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao wanaimba wimbo mpya,+ wakisema: “Wewe unastahili kukichukua kile kitabu cha kukunjwa na kufungua mihuri yake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu+ yako ukamnunulia+ Mungu+ watu kutoka katika kila kabila na lugha na watu na taifa,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki