Mathayo 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 kwa maana hii inamaanisha+ ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ kwa msamaha wa dhambi.+ Yohana 6:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Yule ambaye hula mwili wangu na kunywa damu yangu ana uzima wa milele, nami nitamfufua+ katika siku ya mwisho; 1 Yohana 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru,+ tuna ushirika sisi kwa sisi,+ na damu+ ya Yesu Mwana wake hutusafisha+ kutoka katika dhambi yote.+
28 kwa maana hii inamaanisha+ ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ kwa msamaha wa dhambi.+
54 Yule ambaye hula mwili wangu na kunywa damu yangu ana uzima wa milele, nami nitamfufua+ katika siku ya mwisho;
7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru,+ tuna ushirika sisi kwa sisi,+ na damu+ ya Yesu Mwana wake hutusafisha+ kutoka katika dhambi yote.+