40 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba kila mtu ambaye humtazama Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele,+ nami nitamfufua katika siku ya mwisho.”+
52 kwa muda mfupi, kufumba na kufumbua jicho, wakati wa tarumbeta ya mwisho. Kwa maana tarumbeta+ italia, na wafu watafufuliwa wakiwa wasioweza kuharibika, nasi tutabadilishwa.
16 kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni+ akiwa na mwito wenye amri, kwa sauti ya malaika mkuu+ na kwa tarumbeta+ ya Mungu, na wale walio wafu katika muungano na Kristo watafufuliwa kwanza.+