Yeremia 31:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+ Waebrania 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 kwa kadiri hiyo pia Yesu amekuwa yule aliyetolewa kuwa rehani ya agano bora.+ Waebrania 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 akisema: “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Mungu ameweka kuwa amri juu yenu.”+
31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+