Yeremia 50:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Katika siku hizo na katika wakati huo,”+ asema Yehova, “wana wa Israeli, wao na wana wa Yuda pamoja, watakuja.+ Watatembea, wakilia huku wakitembea,+ nao watamtafuta Yehova Mungu wao.+
4 “Katika siku hizo na katika wakati huo,”+ asema Yehova, “wana wa Israeli, wao na wana wa Yuda pamoja, watakuja.+ Watatembea, wakilia huku wakitembea,+ nao watamtafuta Yehova Mungu wao.+