5 Baadaye wana wa Israeli watarudi na hakika watamtafuta Yehova Mungu wao,+ na Daudi mfalme wao;+ nao watakuja kwa Yehova+ na kwa wema wake wakitetemeka katika siku za mwisho.+
21 na wakaaji wa jiji moja watawaendea wale wa jiji lingine, wakisema: “Twendeni kwa bidii+ tukautulize uso+ wa Yehova na kumtafuta Yehova wa majeshi. Mimi nami nitaenda pia.”+