20 Pia, kikombe+ vivyo hivyo baada ya wao kula mlo wa jioni, akasema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano+ jipya kwa msingi wa damu+ yangu, ambayo itamwagwa kwa ajili yenu.+
25 Akafanya vivyo hivyo kuhusu kile kikombe+ pia, baada ya yeye kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa msingi wa damu+ yangu. Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka+ mimi.”
8 kwa maana yeye anawalaumu wale watu anaposema: “ ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘nami nitafanya agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda;+
16 “ ‘Hili ndilo agano nitakalofanya kwao baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika mioyo yao, nami nitaziandika katika akili zao,’ ”+