Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi Musa akaichukua damu na kuinyunyiza juu ya watu+ na kusema: “Tazama, hii ndiyo damu ya agano+ ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kuhusu maneno yote haya.”

  • Zekaria 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Nawe pia, Ee mwanamke, nitawatoa wafungwa+ wako kutoka katika shimo ambalo halina maji kwa kutumia damu ya agano+ lako.

  • Mathayo 26:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 kwa maana hii inamaanisha+ ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ kwa msamaha wa dhambi.+

  • 1 Wakorintho 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Akafanya vivyo hivyo kuhusu kile kikombe+ pia, baada ya yeye kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa msingi wa damu+ yangu. Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka+ mimi.”

  • Waebrania 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo lile agano la zamani+ halikuzinduliwa bila damu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki