Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+

  • Mathayo 26:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 kwa maana hii inamaanisha+ ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ kwa msamaha wa dhambi.+

  • Waebrania 12:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 na Yesu mpatanishi+ wa agano jipya,+ na damu ya kunyunyiza,+ ambayo husema kwa njia bora zaidi kuliko ile damu ya Abeli.+

  • Waebrania 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,

  • 1 Petro 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwana-kondoo asiye na dosari na asiye na doa,+ ile ya Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki