Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wagalatia 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike uzao+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+

  • Wagalatia 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa sababu hiyo Sheria imekuwa mtunzaji wetu kutuongoza kwa Kristo,+ ili tutangazwe kuwa waadilifu+ kutokana na imani.

  • Wakolosai 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa maana mambo hayo ni kivuli+ cha mambo yanayokuja, bali uhalisi+ ni wa Kristo.+

  • Waebrania 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 akisema: “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Mungu ameweka kuwa amri juu yenu.”+

  • Waebrania 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja, lakini si umbo halisi la mambo hayo, watu hawawezi kamwe kuwafanya wale wanaokaribia kuwa wakamilifu+ kwa dhabihu zilezile mwaka baada ya mwaka ambazo wao huendelea kuzitoa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki