Waroma 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa mwadilifu+ kutokana na matendo ya sheria+ mbele zake, kwa maana ujuzi sahihi juu ya dhambi ni kwa njia ya sheria.+ Waroma 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa kweli Sheria hutokeza ghadhabu,+ lakini mahali ambapo hapana sheria, hapana pia kosa lolote.+ Waroma 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo, kwa upande wake, Sheria ni takatifu,+ na amri ni takatifu na ya uadilifu+ na njema.+ Waroma 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho;+ lakini mimi ni wa kimwili, nimeuzwa chini ya dhambi.+
20 Kwa hiyo hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa mwadilifu+ kutokana na matendo ya sheria+ mbele zake, kwa maana ujuzi sahihi juu ya dhambi ni kwa njia ya sheria.+
12 Kwa sababu hiyo, kwa upande wake, Sheria ni takatifu,+ na amri ni takatifu na ya uadilifu+ na njema.+
14 Kwa maana tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho;+ lakini mimi ni wa kimwili, nimeuzwa chini ya dhambi.+