13 Basi, je, lililo jema lilikuja kuwa kifo kwangu? Isiwe hivyo kamwe! Lakini dhambi ilikuwa hivyo, ili ionyeshwe kuwa dhambi ndiyo inayoniletea kifo kupitia lile lililo jema;+ ili dhambi iwe dhambi zaidi kupitia amri.+
19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike uzao+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+