Yohana 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu ambaye huondolea mbali dhambi+ ya ulimwengu!+ Waroma 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Kristo ndiye mwisho wa Sheria,+ ili kila mtu anayeonyesha imani awe na uadilifu.+
29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu ambaye huondolea mbali dhambi+ ya ulimwengu!+